Sbs Swahili - Sbs Swahili

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editora: Podcast
  • Duração: 105:06:11
  • Mais informações

Informações:

Sinopse

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

Episódios

  • Taarifa ya Habari 7 Disemba 2023

    08/12/2023 Duração: 06min

    Naibu kiongozi wa chama cha Liberal Sussan Ley ameomba serikali ya Albanese, iwaombe wa Australia msamaha wakati serikali ya Labor inazingatia kuwakamata tena watu ambao si raia walio achiwa hivi karibuni kutoka vizuizi vya uhamiaji, ambao huenda wakawa tisho kwa usalama wa jamii.

  • Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani

    08/12/2023 Duração: 07min

    Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.

  • George afunguka kwa nini alikimbia kutoka Adelaide hadi Melbourne

    07/12/2023 Duração: 19min

    George Chijarira ni mwanachama wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria.

  • Taarifa ya Habari 5 Disemba 2023

    05/12/2023 Duração: 14min

    Serikali ya shirikisho inatarajiwa kuwasilisha mageuzi ya muswada wiki hii, kwa ajili yaku kabiliana na utata ambao ume ibuka baada ya uamuzi wa mahakama kuu ambayo ili toa hukumu kuwa kifungo ndani ya vizuizi vya uhamiaji ni kinyume ya sheria.

  • Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia"

    05/12/2023 Duração: 10min

    Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.

  • Taarifa ya Habari 4 Disemba 2023

    05/12/2023 Duração: 06min

    Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amelaani anacho elezea kuwa ongezeko la mashambulizi dhidi ya wayahudi nchini Australia, tangu mwanzo wa mapigano mapya kati ya Israel na Hamas.

  • Hezron "watu wengi wamepata makaazi, ajira na huduma nyingi kupitia Kokwet"

    05/12/2023 Duração: 06min

    Viongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.

  • Taarifa ya Habari 1 Disemba 2023

    01/12/2023 Duração: 18min

    Viongozi wakisiasa wame waomba wa Australia waungane na waoneshe huruma hapa nyumbani, wakati mivutano inaendelea kuongezeka kwa sababu ya hali inayo endelea katika ukanda wa mashariki ya kati.

  • Brian "nita ongeza juhudi kusaidia jumuiya yangu katika kila hali"

    01/12/2023 Duração: 04min

    Shirika la Kokwet lili andaa mashindano ya wanamitindo mjini Sydney siku chache zilizo pita.

  • Taarifa ya Habari 30 Novemba 2023

    01/12/2023 Duração: 06min

    Maafisa wa Australia wana endelea kuwasaidia watu 67 wanao taka ondoka Gaza ila, wanasema hali huko ni mbaya katika siku ya mwisho ya kusitishwa kwa muda kwa vita.

  • Australia ya Elezewa: Unawezaje tupa nguo ambazo hautaki nchini Australia?

    01/12/2023 Duração: 12min

    Je unajua wa Australia hutupa zaidi ya tani 200,000 ya nguo kila mwaka?

  • Taarifa ya Habari 28 Novemba 2023

    28/11/2023 Duração: 18min

    Upinzani wa shirikisho unaendelea kuikosoa serikali baada ya hukumu ya mahakama kuu, kuamuru kuwa kuweka watu ndani ya vizuizi vya uhamiaji kwa muda usiojulikana nchini Australia ni kinyume cha sheria.

  • Australia ya elezewa: Wazazi wanaweza msaidiaje mtoto kupona kiwewe?

    28/11/2023 Duração: 12min

    Ikiwa mtoto wako amepata kiwewe ng'ambo au nchini Australia, ikiwa ilifanyika hivi karibuni au katika siku za nyuma, pakiwa msaada unao faa, mtoto anaweza pona.

  • Taarifa ya Habari 27 Novemba 2023

    27/11/2023 Duração: 06min

    Mateka 17 wa Israel wame achiwa huru na wafungwa 39 waki Palestina nao pia wame achiwa huru katika siku ya tatu ya kusitishwa kwa vita kati ya Israel na Hamas.

  • Unahudhuria au ni mwenyeji wa sherehe yaki Australia? Haya ndiyo unahitaji jua

    27/11/2023 Duração: 10min

    Hakuna uhaba wa matukio yaku sherehekewa nchini Australia.

  • Tim "tuna endelea kutumia mbinu tofauti kuwafunza watoto wetu tamaduni zetu"

    27/11/2023 Duração: 09min

    Wanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.

  • Taarifa ya Habari 24 Novemba 2023

    24/11/2023 Duração: 19min

    Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali yake inafanya iwezavyo kupunguza mfumuko wa bei, na kiongozi wa benki kuu ana amini inaendelea kutokea ndani.

  • Somalia yatengeza historia katika fainali ya kombe la Afrika Kusini Australia

    24/11/2023 Duração: 06min

    Timu ya Somalia, imekuwa ikishiriki katika michuano ya kombe la Afrika la Kusini Australia bila mafanikio makubwa.

  • Yemba Fashion "nimezaliwa namapenzi yakuvaa vizuri, na tofauti na wengine"

    23/11/2023 Duração: 13min

    Wanaume wengi kutoka DR Congo wanajulikana kwa mavazi yao yanayo vutia.

  • Taarifa ya Habari 21 Novemba 2023

    21/11/2023 Duração: 21min

    Takwimu mpya zina dokeza kuwa vijana nchini Australia wana punguza matumizi yao zaidi kuliko vikundi vingine, na wanapunguza pia matumizi kwa vitu muhimu.

página 20 de 26