Jukwaa La Michezo

CAF: Nigeria na Morocco kuchuana leo kwenye fainali ya WAFCON

Informações:

Sinopse

Leo tumeangazia fainali ya Kombe la Mataifa ya Wanawake kati ya Nigeria na Morocco, maandalizi ya CHAN yapamba moto, kamati ya Olimpiki nchini Kenya yapata viongozi wapya, kurejea kwa soka nchini Sudan licha ya vita, chama cha wachezaji Fifpro kikidai wachezaji wanahofia kulalamikia mrundiko wa mechi kwenye kalenda ya soka, uhamisho wa wachezaji ulaya, Verstappen ashinda mashindano ya mazoezi ya Belgian GP, Tour de France yafikia hatua ya 20 na fainali ya Kombe la EURO kwa wanawake.