Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Kesi ya rais mstaafu wa DRC J.Kabila yasikilizwa, mapigano kati ya Thailand na Kambodia

Informações:

Sinopse

Kesi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ilifunguliwa mjini Kinshasa, waziri wa zamani wa sheria nchini DRC Constant Mutamba alikana mashtaka dhidi yake Kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, ripoti moja wiki hii ilisema Watu 65 waliuawa nchini Kenya kufuatia maandamano ya vurugu kati ya mwezi juni na julai, hali nchini Sudan kusini na Sudan lakini pia tutaangazia Afrika magharibi na mengine mengi