Habari Za Un
IOM yachukua hatua za dharura baada ya wahamiaji kufa maji katika pwani ya Djibouti
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:01:52
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, (IOM) kwa ushirikiano wa karibu na mamlaka za Djibouti, linaongeza juhudi zake za kibinadamu kufuatia tukio la kusikitisha lililotokea pwani ya Djibouti ambapo takriban wahamiaji wanane walikufa maji na wengine 22 hawajulikani walipo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.