Habari Za Un
Jifunze Kiswahili: maana ya neno KIHEREHERE
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:00:45
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno KIHEREHERE.