Habari Za Un
Nyumba yetu ilivamiwa na tulilazimika kukimbia hadi hapa Burundi – Mkimbizi Charles
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:04:43
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Mapigano yanayoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yamesababisha zaidi ya watu 70,000 kukimbia makazi yao na kuvuka mpaka kuingia nchi jirani ya Burundi wakitafuta usalama.