Habari Za Un

Jifunze Kiswahili: Matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI"

Informações:

Sinopse

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni  Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI."