Sbs Swahili - Sbs Swahili

Australia ikoje kwa wahamiaji wenye ulemavu

Informações:

Sinopse

Katika mwaka wa 2023, Tume ya Kifalme ilipata kuwa watu wenye ulemavu wali kabiliwa kwa visa vya kubaguliwa nakutengwa, pamoja na vurugu, kunyanyaswa na, unyonywaji na kupuuzwa.