Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 22 Aprili 2025

Informações:

Sinopse

Zaidi ya idadi yawa katoliki milioni 5 nchini Australia wana omboleza, kufuatia kifo cha Papa Francis. Imeripotiwa kuwa Papa alifariki akiwa na miaka 88, baada yaku kumbwa kwa kiharusi na mshtuko wa moyo.