Jukwaa La Michezo
Jean-Jacques wa DRC kati ya waamuzi waliochaguliwa kwenye Kombe la Dunia la Vilabu
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:23:53
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Jumamosi hii tunaangazia nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika, waamuzi kutoka Kenya na DRC miongoni mwa waamuzi kusimamia michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu Marekani mwaka huu, fainali wa Afcon U17, kwenye riadha Chepngetich na Jepchirchir wajiondoa kwenye London Marathon, mechi za kufuzu Kombe la Dunia la wasichana chini ya umri wa miaka 17 pamoja uchambuzi wa robo fainali tatanishi kwenye ligi za mabingwa ulaya wiki hii.