Wimbi La Siasa

Tundu Lisssu afunguliwa kesi ya uhaini, CHADEMA matatani

Informações:

Sinopse

Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani  nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu, Aprili 10 alifunguliwa kesi ya uhaini, baada ya kukamatwa akiwa kwenye kampeni ya kisiasa, kushinikiza mageuzi kwenye mchakato wa uchaguzi, uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.