Habari Za Un

Dawati la jinsia katika vituo vya polisi laleta mabadiliko chanya visiwani Zanzibar nchini Tanzania

Informações:

Sinopse

Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN WOMEN nchini Tanzania chini ya ufadhili kutoka Muungano wa Ulaya wanashirikiana na jeshi la polisi kuendesha mradi huko visiwani Zanzibar wa kukomesha unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana na tayari manufaa ya mradi huo yameanza kuonekana.