Afrika Ya Mashariki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editora: Podcast
  • Duração: 3:47:32
  • Mais informações

Informações:

Sinopse

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Episódios

  • Namna siku ya vijana ilivyoadhimishwa katika nchi za Afrika Mashariki

    14/08/2024 Duração: 09min

    Siku ya Vijana Ulimwenguni, ambayo huadhimishwa tarehe 12 Agosti kila mwaka, ilianzishwa na Umoja wa Mataifa mnamo mwaka wa 1999 kupitia maazimio ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Lengo kuu la siku hii ni kutambua mchango wa vijana katika jamii, kuhamasisha ushirikiano na kuunga mkono haki za vijana, na kuonyesha jinsi vijana wanavyoweza kuchangia maendeleo endelevu na amani duniani

  • Uchaguzi wa urais uliofanyika nchini Rwanda ambapo rais Kagame alitangazwa mshindi

    20/07/2024 Duração: 09min

    Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama nchini Rwanda tukianga zoezi la kupiga kura lilifanyika Julai 14 na 15, 2024.

  • Harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa urais nchini Rwanda

    03/07/2024 Duração: 09min

    Raia wa Rwanda ambao ni wanachama wa Jumuiya ya Afrika mashariki, kwa sasa wapo katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu Uchaguzi utakaofanyika Julai 15, 2024 kumchagua rais wao mpya Pamoja na wabungeRais anayemaliza muda wake Paul Kagame anawania kwa muhula wa nne akisaka ridhaa ya Wanyarwamda kusalia katika Ikulu ya KigaliTaifa la Rwanda linalo kadilikuwa na jumla ya wakazi 14,410,469 kati yao ni Wanyarwanda takribani milioni 9 wameandikishwa katika daftari la mpiga kura kushiriki katika uchaguzi Urais, Jambo lenye sura mpya kwa sasa ni kwa mara ya kwanza uchaguzi huo utafanyika sambamba na ule wa bunge.

página 2 de 2